Header Ads

Makalio makubwa yageuka fimbo kwa wanaume

Nimefanya kajiutafiti nikagundua wanawake wengi wa Kitanzania au kiafrica wamekuwa tegemezi sana kwenye silaha moja tu.

"MAKALIO YAO" Asilimia kubwa ya wanawake hasa wa mjini wamekuwa wakitumia makalio yao"Wowowo"Kuwanasa wanaume haswa maofisini n.k.
Nimejiuliza bila makalio mbinuko hawa watu wangetumia nini kutunasa?

We wafuatilie watembeapo huzungusha makalio, wapigapo picha hubinuwa makalio, walalapo kwa Bed huyaweka makalio yao juu juu.

Hivi ina maana makalio yenu yamegeka silaha yenu?
Na hii imewachangia baadhi ya wanaumme wawaze kuwatafuna utumbo mdogo a.k.a"T"
Unakuta mwanamke kwa sura mzuuriii..Lakini kama ni flat screen anapoteza confidence kabisa.

At the same time unaweza kumkuta demu sura nguumuu..Imekunjamana kama kalamba ndimu. Lakini kwa sababu kajaaliwa Makalio mbinuko anajiamini plus kiburi juu.

Makalio a.k.a Wowowo ni SMG kwenu?

Kujeni mjitolee tafsiri wenyewe mabibi na wazee wa Mikia.


Powered by Blogger.